Loading...

HAYA N'DO MAMBO YA MAANA SASA: SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MASHINDANO YA WENYE MAKALIO MAKUBWA

Serikali ya Burkina Faso imepiga marufu shindano ya kila mwaka kwa wanawake wene makalio makubwa kwa maelezo kuwa shindano hilo halina maadili na linaleta ubaguzi katika jamii.

Tangazo la shindano hilo maarufu kama “Miss Bim-Bim” lililoonyesha wanawake wawili wenye makalio makubwa sana, lilizungua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii nchini humo.

Baada ya watu kukosoa tamasha hilo, Waziri mwenye dhamana, Laure Zongo alisema kazi ya serikali ni kuhakikisha kuwa mwanamke hanyanyaswi na kuwa maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii imemsukuma kuzungumzia tukio hilo.

Mtayarishaji wa mashindani hayo, Hamado Doambahe alisema kuwa walikuwa na lengo la kusifia umbo zuri la mwanamke wa ki-Afrika na wala sio kulenga kufanya jambo lolote baya.

Mashindano ya namna hii yamekuwa yakifanyika katika nchi nyingine Magharibi mwa Afrika na kuwa wanawake wamekuwa na mitazamo tofauti juu ya mashindano haya.
http://www.udakuspecially.com/2016/08/serikali-yapiga-marufuku-mashindano-ya.html

SIASA BONGO PASUA KICHWA: HAYA NDIYO YALIYOJIRI BAADA YA LIPUMBA KUTUPWA NJE YA CHAMA ANAHAMIA CHAMA GANI? DUUH NINI MAONI YAKO WEWE?

Image result for LIPUMBA OUT
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemsimamisha uanachama aliyekuwa mwenyekiti wake wa taifa, Profesa Ibrahim Lipumba kwa tuhuma za kuwa kinara wa vurugu zilizosababisha mkutano mkuu maalum wa chama hicho kuvunjika., anaandika Aisha Amran.
Pamoja naye katika adhabu hiyo ni viongozi waandamizi wengine 10 akiwemo Naibu Katibu Mkuu Bara na Mbunge wa Kaliua, Magdalena Sakaya, Mbunge wa Mtwara Mjini, Maftaha Nachuma na Naibu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Umma, Abdul Kambaya.
Uamuzi huo umetangazwa rasmi leo na Naibu Katibu Mkuu wa chama Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui wakati akitoa taarifa ya kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa (BKUT), kilichofanyika mjini Zanzibar jana.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, viongozi wengine waliochukuliwa hatua hiyo hadi watakapojieleza mbele ya Baraza Kuu hilo, ni Ashura Mustafa, Omar Mhina Masoud, Thomas Malima, Kapasha M. Kapasha, Mohamed Habib Mnyaa, Haroub Shamis na Mussa Haji Kombo.

Wakati Ashura ni mjumbe wa Baraza Kuu na mwanamama aliyewahi kuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Umma wa chama, Mnyaa na Kombo, ni viongozi wazoefu waliokuwa wabunge kipindi cha 2010/2015; Mnyaa akiwakilisha jimbo la Mkanyageni na Kombo jimbo la Chake Chake, kisiwani Pemba.
Taarifa ya CUF imesema Profesa Lipumba amechukuliwa kama kiongozi wa vurugu ambazo chama kimesema ni “hujuma za makusudi zilizoandaliwa kwa mashirikiano na maadui wa ndani na nje ya chama kwa nia ya kukihujumu.”

Mkutano mkuu maalum wa CUF ulifanyika 21 Agosti kwenye Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ukiwa na agenda mbili ikiwemo ya kuchagua mwenyekiti mpya baada ya Prof. Lipumba kujiuzulu kwa hiari 5 Agosti mwaka jana.

“… (vurugu) hazikuwa za bahati mbaya au za kushtukiza bali ni matokeo ya njama na mbinu ovu na chafu ambazo zimekuwa zikipangwa na kutekelezwa chini kwa chini kwa muda mrefu,” imesema taarifa ikieleza namna wajumbe wa Baraza Kuu walivyotoa ushahidi uliowagusa watuhumiwa.

Mazrui ambaye alisoma taarifa mbele ya waandishi wa habari mjini Zanzibar, amesema wajumbe wa Baraza wamesikitishwa na “jinsi baadhi ya viongozi wa walioaminiwa na kupewa nyadhifa za juu walivyogeuka na kuanza kutumiwa na maadui wa nje ya Chama kukihujumu Chama.”

“Baraza Kuu limezingatia kuwa CUF ni chama cha kistaarabu, niChama cha kidemokrasia na ni Chama chenye kutoa matumini ya mabadiliko ya kweli kwa Watanzania walio wengi. Vurugu zilizojitokeza ni aibu na fedheha kwa chama chetu mbele ya macho ya Watanzania na wapenda demokrasia,” amesema.

Mazrui amesema viongozi hao walipewa nafasi mara kadhaa kujirekebisha dhidi ya mwendo wao huo lakini “waliendelea na vurugu na hujuma zao hizo… Baraza Kuu limeona halina njia nyengine ya kukinusuru Chama isipokuwa kuchukua hatua kali na madhubuti kukilinda Chama ambao ni wajibu wake kikatiba.”

Chama hicho kimemfukuza uanachama Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Shashu Lugeye baada ya kutoridhika na maelezo yake ya utetezi mbele ya Baraza hilo, huku likiwapa karipio kali Rukiya Kassim Ahmed na Athumani Henku ambao pia ni wajumbe wa baraza hilo.

Hatua hizo zimeibua Kambaya ambaye wakati anakiri baraza kuu linayo mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo, anasema hatua hiyo inafanana na kilichofanywa katika kisa cha Firauni (Pharaoh) na Nabii Mussa ambaye alikuwa akimpinga.

“Si jambo geni, hata Firauni aliposhindwa kujibu hoja za Nabii Mussa alitumia jeshi,” ameandika Kambaya katika taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii leo.
Kambaya amesema chama kimetoa adhabu kabla ya kutoa majibu ya hoja za wanachama waliolalamika rasmi kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, akiwemo yeye, kufuatia yaliyotokea kwenye mkutano mkuu maalum.

“Nawaomba Wana-CUF msifadhahike na wala msihuzunike waliotufukuza kabla hata ya kutoa majibu ya hoja zetu tulizowasilisha kwa Msajili, bila shaka hawana majibu sahihi ya hoja zetu. Na jambo hili sio geni kwa hapa duniani, Firaun aliposhindwa kuthibitisha kuwa yeye ndie Mungu, alitumia jeshi lake (Baraza Kuu) kutaka kumuangamiza Mussa na wafuasi wake waliokuwa wanaamini katika haki na Mungu wa kweli,” alisema.
Chanzo:
http://mwanahalisionline.com/profesa-lipumba-10-wakatwa-cuf/

DUUU MAMBO YA TANGA HAYAFAI KUMBE LILE FUMANIZI LILIKUWA LA HATARI VILE?


Image result for mtoto afumaniwa tanga
August 29 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Tanga ambapo mzee mmoja kafumaniwa na mkewe akiwa na mtoto wa shule wa miaka 14.

Mjomba wa mtoto ameeleza kuwa mtoto amekuwa akijiandaa asubuhi na mapema sana na anaaga anaenda shule lakini anapitia kwa huyo mzee na baadaye muda wa saa moja anaena shule……

Mahusiano yameanza tangia January, mpaka sasa hivi ni mwezi wa nane na sisi mpaka tumekuja kugundua ni baada ya kutokea ugomvi, mke wake yule mzee amempiga na kumng’ata mtoto ameumia na sisi ndio tukajua hilo suala.

Mtoto wangu ana miaka kumi nne na mzee huyo ana kama 60 mpaka 70 maana ni babu kabisa, sisi halikuwa hatujui tulikuwa tunajua anaenda shule na alikuwa anamuaga bibi yake maana anakaa na bibi yake kwamba wanatakiwa kuwahi namba kumbe asubuhi anaanza kwanza kwa huyo baba.

Jumatano asubuhi walipokutana na huyo baba kupewa hela mara mke wa huyo baba akatoa akaanza kumshambulia na kumng’ata
chanzo:
http://www.udakuspecially.com/2016/08/mtoto-wa-shule-alivyofumaniwa-na.html

DISCOVER 7 REASONS WHY EVEN THE HAPPIEST HUSBANDS CHEAT - HOW CAN YOU REDUCE THAT IS IT POSSIBLE FIND OUT


  • Infidelity is a heartbreak no one should ever have to deal with, but when it happens, most couples are left with haunting questions. No one situation can be placed in a tidy box of reasons, but if you and your husband were happily married when he had an affair, these can explain how this happened.

  • He's covering up insecurities

    Your husband is likely a great spouse. And as a great spouse, he might feel a lot of pressure to make sure you and everyone else in the family is happy.
    But deep down he could be suffering.
    Is work overwhelming? Does he feel like it's impossible for him to succeed as a parent? Is he remembering unresolved insecurities from years ago?
    If he feels a lot of pressure to keep your family happy, he may never feel comfortable revealing those problems, said marriage therapist Aaron Anderson.
    "Instead of being able to talk out loud about their insecurities, wants, regrets, etc. they continue on living a life that makes them only superficially happy," he said. "But they have deeper desires that are going unfulfilled. It's the need to fulfill those deeper desires and their inability to talk out loud about them that makes them try to get them fulfilled in secrecy (e.g. by having an affair)."
  • It's easier to look for something new rather than talk about expectations

    Men don't just need sex; they need emotional connection (just like women). But unfortunately, it's usually pretty painful for a man to tell his wife he doesn't feel appreciated, according to marriage counselor M. Gary Neuman. After all, it's not "manly" to ask for more affirmation.
    He will shove those emotional disappointments to the back of his brain and deal with them later.
    Ladies, that later is scary. Those emotions will eventually surface, and if he feels more appreciated from a different source, it could be hard for him to resist that validation. Not being emotionally satisfied was the main reason 48 percent of men cheated, according to a study by Neuman.
  • Cheating makes him less vulnerable to one person

    In case you haven't sensed a theme here, emotions play a great deal more into infidelity than we tend to think. For most men, it's super hard to express how he feels - even to himself. (See above)
    But marriage is all about being vulnerable to ONE person -- which is scary. If he can spread out his life's intimate details between two people, he can feel less vulnerable (and dependent) on one person.
  • He doesn't know how to balance love with romance

    Feeling safe, loved and like you belong is a basic human need, but humans also crave adventure and mystery. Balancing the two in a marriage is hard, according to couples therapist Esther Perel.
    When we feel like we belong and our relationship is reliable, routine develops. And there is nothing more opposite of adventure than routine. Sometimes happily married men enjoy the comfort of reliability and love from their wife, but look somewhere else for a thrill.
  • He didn't mean to

    More than half of cheating men felt guilty during the affair. Sixty-eight percent of unfaithful men said they never dreamed they would cheat on their wife. This isn't comforting, but it does show how cautious couples need to be to prevent accidental affairs from sneaking in. Technology makes it pretty easy to develop an inappropriate relationship.
  • It's NOT about how you look

    Please stop comparing, and never belittle how beautiful you are. Your husband did not cheat on you because he wanted someone more attractive. There is no level of makeover you could get that would make a cheater less likely to cheat.
    And interestingly, only 12 percent of cheating men were more attracted to their mistress than to their wife, according to Neuman's study. Your beauty has nothing to do with it.

  • His good friend had an affair

    Have you ever heard the phrase, "You are the average of the five people you spend the most time with"? Well, it's true. Seventy-seven percent of cheating men had a good friend who had an affair first. If a buddy your husband respects and loves can justify an affair, your husband might start to view affairs as less damaging than he did before.
    Whatever the reason for the affair, the most important thing to remember is that YOU are worth loving. Don't allow your husband's mistake to make you feel worthless. With help, healing can (and does) happen -- in time.

    Original link:
    https://familyshare.com/25132/marriage/why-do-happily-married-husbands-cheat

HII DUNIA SASA KWELI INAELEKEA UKINGONI: HUKO AFRIKA KUSINI WANAUME HAWA WAWILI PICHANI WAMEFANIKIWA KUPACHIKWA MIMBA NA KUJIFUNGUA WATOTO 3 KWA HAKIKA UKISTAAJABU YA MUSA


WANAUME wawili wanaoishi kama mume na mke (mashoga) nchini Afrika Kusini wanasemekana kuwa watu wa kwanza katika ukanda huo na huenda duniani kwa kuwa wazazi wa mapacha watatu, wawili wakiwa wanafanana, kwa kupitia mtu mwingine aliyebeba mimba.

Wazazi hao ambao walikuwa majirani na mwanamichezo za zamani mlemavu, Oscar Pistorius, walikutana na mtu waliyempatia mbegu zao wakati wa mashitaka ya mauaji yaliyokuwa yanamkabili.
Christo na Theo Menelaou wamewachukua watoto wao nyumbani kwao mjini Pretoria baada ya kukaa hospitali kwa wiki tatu za matatizo.  Kutokana na kuzaliwa kabla ya wakati wao, Julai 2, mapacha hao walijikuta maisha yao yakining’inia kati ya uhai na kifo.

couple (1)Joshua alikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa kwa njia ya upasuaji na ndiye alikuwa mzito kuliko wote akiwa na uzito wa kilo 1.8; Zoe alifuatia akiwa na kilo 1.3 na Kate aliyekuwa na kilo 1.3 pia.

Watoto hao waliwekwa kwenye mashine za kuwasaidia kupumua hadi walipokuwa na nguvu za kutosha na kuweza kuondoka katika hospitali ya Sunninghill ya Johannesburg.

Waliondoka siku tofauti kwenda nyumbani, ambapo Joshua alikuwa wa kwanza kuruhusiwa siku ya Julai 22,  akafuata Zoe aliyeruhusiwa siku kumi baadaye na Kate ambaye aliruhusiwa Agosti 4.
Christo Menelaou aliliambia shirika la utangazaji la Sky News: “Ukiwa shoga, siku zote unafikiri kwamba haiwezekani ukawa mzazi hata kama una upendo kiasi gani.

“Ni vigumu kupewa mtoto wa kuasili na kila mara tuliambiwa kwamba ni wazazi wa kawaida tu ndiyo huruhusiwa.  Pia hatukuweza kufikiri kwamba tungempata mtu ambaye angekubali kubeba mbegu za mashoga.

Hata hivyo, mama mmoja mwenye watoto watatu, waliyekutana naye wakati wa mashitaka ya Pistorious, alikubali kutubebea mbegu zetu.”

Sheria za Afrika Kusini kuhusu upandikizaji wa mbegu kwa watu wengine, iliwataka wanaume wote wawili hao, mtu mwenye kubeba mbegu zao na mumewe wasaini mkataba mbele ya jaji kusisitiza kwamba walikubaliana kwa hiari katika jambo hilo na kwamba pasingekuwepo na kupeana fedha au kubeba gharama zozote.

Wawili hao walikwenda kwenye benki ya mayai na kuchagua mayai  ambapo yai moja lilirutubishika  na mbegu ya Christo na kuwekwa katika tumbo la mbeba mimba na baadaye aliwekewa yai lililokuwa na mbegu ya Theo.

Baada ya wiki kumi za mimba hiyo, uchunguzi ulionyesha kwamba moja ya mayai hayo yaliyorutubishika lilikuwa limejitenga na mbeba mimba alikuwa ana mapacha watatu, wawili wakiwa ni wenye kufanana.

Wakati ambapo madaktari wengi waliwashauri wanaume hao kwamba mbeba mimba huyo akatishe uhai wa mapacha wawili ili kutoa fursa ya mtoto wa tatu kuendelea bila matatizo, hatimaye walimpata mtaalam wa masuala ya watoto ambaye alisema angewasaidia jinsi ya kuhakikisha watoto hao wanazaliwa salama.

Dk Heidra Dahms, ambaye ni mtaalam wa masuala ya watoto katika Hospitali ya Sunninghill na aliyesimamia kuzaliwa kwa watoto hao, aliliambia shirika la Sky News : “Ni jambo adimu sana.  Sijawahi kusikia kitu kama hicho hata siku moja.”

Watoto walikuwa ni wadogo mno, mapafu yao yalihitaji msaada wa ziada ili kupumua na Theo alilazimikakulala kando ya kitanda hadi walipopata nguvu.

Hata hivyo, wazazi hao wanakabiliwa na changamoto ya kumfanyia upasuaji Zoe kutokana na kasorokwenye moyo, upasuaji ambao unahitajika kufanyika katika kipindi cha miezi sita.
Pamoja na yote hayo, wawili hao  wanasherehekea kuitwa ‘baba’, jambo ambalo hawakutegemea kamwe lingewezekana.

Hivi sasa wanaendelea kuwatunza watoto wao hao watatu nyumbani kwao kwa msaada wa mayaya wawili usiku na mchana ambapo kila mtoto amefungwa kidude kinachotoa sauti iwapo watashindwa kupumua.

Theo alisema: “Tunalazimika kuwasugua taratibu kwenye migongo yao au kutekenya vidole vyao ili kuwakumbusha kupumua.

“Tunajisikie tumebarikiwa sana,” alisema kwa furaha.

http://www.udakuspecially.com/2016/08/wanaume-wazaa-mapacha-watatu-wa.html

Science Has Finally Figured Out Why Men Like Big Butts Obviously, this is Very Important.


Image result for why men want women with big behinds 
 
Butts are definitely having a moment, and now science might actually have an answer to why we're all about that bass.
Researchers at Bilkent University in Turkey showed 300 men silhouettes of women's bodies and asked to rank them in order of preference. They found that the men were most attracted to women whose spines curved exactly 45 degrees above the top of their butts, but that the men were actually more attracted to the spinal curve — known as vertebral wedging — than the butts themselves. Why? The researchers say that having "extra mass around the buttocks" enhanced the appearance of the curvature.


 

original link
http://www.cosmopolitan.com/entertainment/celebs/news/a37405/science-big-butts/

10 THINGS EVERY MAN WANTS IN BED - ARE THESE WHAT YOU TOO WANT?



Rare is the man who demands acrobatic porno stunts and a closet filled with ball gags and leather whips. Sure, those men exist, and if that’s your cup of kink, go for it. But the truth is, most guys are a little more predictable in their bedroom proclivities. We just want a sex life that’s a little spicy, a little sweet, and still occasionally surprising. Easy enough, right? Sure it is! To make the bedroom a sexual sanctuary, here are the things dudes desire most.


1. To See You Take Initiative
We’re happy to make the first move, and if you don’t, we will. But it’s so much more rewarding when we know how eager you are. Because no matter how much you seem to enjoy the heat, if you never light the match, we have to wonder if you don’t secretly prefer the cold.cold.

2. Sexy Lingerie
We know you mostly wear it to turn us on, and we really, really appreciate it—even if we seem to barely notice as we rip it off and toss it on the floor.
3. Foreplay
Don’t be fooled by guys you see in movies who are always horny and ready to screw like RIGHT NOW. Truth is, we love the slow build as much as we love the crescendo. And good sex provides both.

4. Spontaneity
It’s impossible for a couple not to fall into some kind of rut, even if it’s a shallow one. So don’t ever be afraid to change things up. Pre-work sex, sex without penetration, and sex on the living room coffee table all do the trick.coffee table all do the trick. Just be sure to wipe it down before you put the magazines back.

5. Dirty Talk
Or at the very least, some encouraging moans to let us know when we’re on the right track.

6. To Hear His Name
Nothing keeps us in the moment like the sound of our own name. Use that to your advantage.

7. Safety
Unless we’re in a long-term relationship, you’re taking the Pill, and we’ve both been tested for STDs, then condoms are still part of the equation. Odds are, we have one with us. But what if we run out? Or we forget it? If you can whip out a rubber like sexual Houdini, that’s hot. Even better is if you occasionally pull it out before we have a chance to. It shows us that you’re committed to our sex life, and that you’re willing to take joint responsibility for our safety.

8. A Game-for-Anything Attitude
If we want to play out a fantasy or try a new position, we hope you’ll at least be open to trying. And we promise—we’ll do the same for you.

9. A Sense of Humor
When things go wrong, it can either be hilarious, or devastating. Our ability to laugh together makes the difference.

10. To Make You Orgasm
It’s not all about us, and we know it. So, please—tell us what you want. We aim to please.

Original link:
http://www.womenshealthmag.com/sex-and-love/men-want-in-bed?_rtu=7ulWbo9kTqmKRJNFL0jOJQ%2B
Older Posts
© Copyright Amour | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top