Loading...

TANZANIA KUWA YA KWANZA KURUSHA HELKOPTA YAKE KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA?

Wananchi wakitazama helkopta iliyotengenezwa na
Mwananchi mkazi wa Tunduma, mkoani Songwe Adam Kinyekile aliyetengeneza helkopta ametembelewa na wataalamu kutoka Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA)

Mbunifu huyo ndugu Kinyekile, ambaye pia ni fundi wa magari alisema alipokea ujumbe wa maofisa wanne kutoka TCAA makao makuu...

Soma zaidi hapa:
http://www.mwananchi.co.tz/habari/-Aliyetengeneza-helikopta-atembelewa-na-wataalamu-wa-anga-/1597578-3325112-ajevjdz/index.html

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Amour | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top